KARIBU KATIKA MTANDAO WETU
Baraza La Vijana Zanzibar:Ni Baraza lililoanzishwa kwa mujibu wa Sheria Nambari 16/2013. Baraza huanzia ngazi ya Shehiya hadi ngazi ya Taifa
Lina uwezo wa kushtaki na kushtakiwa Kumiliki na kununua,kupata na kutoa mali yoyote.Read More